Na Is-haka Omar ZPC
Mamlaka ya maji zanzibar ZAWA imeombwa kulitafutia ufumbuzi tatizo la maji safi na salama linalowakabili kwa muda mrefu wananchi wa maeneo ya chumbuni.
Wakizungumza na waandishi wa habari hizi wananchi wa shehia hiyo wamesema tatizo hilo linarejesha nyuma shughuli zao za kujiletea maemdeleo na kuathiri maisha yao ya kila siku.
Wamesema maji wanayoyategemea hivi sasa ni ya kisima cha Chumbuni na Masjdi Raudha ambayo wanalazimika kulipia shilingi 50 kwa kila ndoo.
Hivyo wameitaka mamlaka hiyo kulishughulikia tatizo hilo kwa umakini kwa vile maji ni huduma muhimu katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za jamii
Mamlaka ya maji zanzibar ZAWA imeombwa kulitafutia ufumbuzi tatizo la maji safi na salama linalowakabili kwa muda mrefu wananchi wa maeneo ya chumbuni.
Wakizungumza na waandishi wa habari hizi wananchi wa shehia hiyo wamesema tatizo hilo linarejesha nyuma shughuli zao za kujiletea maemdeleo na kuathiri maisha yao ya kila siku.
Wamesema maji wanayoyategemea hivi sasa ni ya kisima cha Chumbuni na Masjdi Raudha ambayo wanalazimika kulipia shilingi 50 kwa kila ndoo.
Hivyo wameitaka mamlaka hiyo kulishughulikia tatizo hilo kwa umakini kwa vile maji ni huduma muhimu katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za jamii
No comments:
Post a Comment