Saturday, November 26, 2011

Tubadilike kokomesha ajira za watoto

Inaonekana bado jamii haijataka kubadili tabia ya kukomesha ajira mbaya kwa watoto kama ambvyo mtoto alivyokutwa akifanya biashara za kitalii pembezoni mwa fukwe za bahari ya Bagamoyo, hii ni ajira mbaya zaidi kwani kwa asilimia mia moja mtoto huingia kwenye matatizo ya unyanyasaji wakijinsia n.k

No comments:

Post a Comment