Waandishi wakiwa katika mkutano wa pamoja na wadau wa habari, mkutano ambao ulifanyika kawenye ukukmbu wa Eacrotanal Zanzibar
Katibu Mtendaji na Naibu Katibu wa ZPC wakiwa kwenye Mkutano wa wadau na waandishi wa habari
Waandishi na wahariri wa habari kutoka kwenye vombo mabali mbali wakifuatilia kwa makini mada ya Utawala bora kwenye vyombo vya habari kwenye mkutano uliowakutanisha waandishi na wadawa wa habari nchini
Waandishi na wahariri wa habari kutoka kwenye vombo mabali mbali wakifuatilia kwa makini mada ya Utawala bora kwenye vyombo vya habari kwenye mkutano uliowakutanisha waandishi na wadawa wa habari nchini
Waandishi na Wadau wahabari wakiwa wamesima pamoja katika kuwaombea dua ndugu na jamaa waliofariki kwenye ajali ya meli ya Mv Spice Islanders hivi karibu visiwani Zanzibar
Mkurugenzi wa Shirika la Utaangazaji la Zanzibar mwenye kipaza sauti akijibu maswali yaliyoulizwa na washiriki katika mkutano kati ya waandishi na wadau wahabari
Mjumbe kutoka kwenye jumuiya ya Zanzibar Youth Forum akichangia mada
No comments:
Post a Comment