Monday, August 22, 2011

Kura ya maoni Liberia

Wananchi wa Liberia wanatarajiwa kwenda kupiga kura siku Jumanne kwa ajili ya kutoa mapendekezo yao ya mabadiliko ya katiba ambayo yanaungwa mkono na chama tawala wakati huo huo chama cha upinzani nchini humu wanapingwa vikali mabadiliko hayo.

katika hali hiyo wabi mojawapo ya mabadiliko makubwa ambayo yanaonekana kuwa na nchini Liberia ni ile nafasi ya ugombea wa kiti cha urais ambapo kwa ujibu wa sheriza nchini hiyo, mtu anayetaka kugombea nafsi hiyo, anatakiwa awe ameishi nchini Liberia kutoka miaka 10 hadi 5.

Hali hiyo inaonekana inaweza kuathiri harakati zakisiasi nchini humo, kwani sheria inatakiwa iweseme ni wagombea gani wanaostahili kushiriki katika kinganganyri cha uchaguzi ujao. Wanasiasa wengi ambo waliondoka nchini humo wakati wa miaka 14 uhamishoni, hii ni kutokana na ghasia na machafuku za kiraia ambayo yalikuwa yakitokea nchini humo na kumalizika mwaka 2003.

Mabadiliko mengine yatachelewesha uchaguzi wa rais kutoka Oktoba mpaka Novemba.Waungaji mkono wanasema hatua hiyo itauondoa uchaguzi wakati wa msimu wa mvua ambapo usafiri unakuwa mgumu sana

No comments:

Post a Comment