Mnamo tarehe 20 may 2012 siku ya jumapili ulifanyika wizi wa mali za ofisi ya zanzibar press club na mali za IS-HAKA OMAR RWEYEMAMU kwa mujibu wa polisi zinakadiliwa kuwa na thamani ya TSH.11,600,000 uliofanywa na kijana anayeitwa Mbaraka Juma Ali mkaazi wa zanzibar,wizi huo ulifanyika katika mtaa wa michenzani block no.7 ghorofa ya tatu mali zilizoibiwa ni pamoja na
1.Radio aina
ya panasonic
2.kompyuta aina laptop
3.sanduku la nguo
4.passport ya kusafiria
5.dvd player.
6.cheti cha kuzaliwa
2.kompyuta aina laptop
3.sanduku la nguo
4.passport ya kusafiria
5.dvd player.
6.cheti cha kuzaliwa
No comments:
Post a Comment